Genesis 39:6

6Kwa hiyo Potifa akamwachia Yusufu uangalizi wa kila kitu alichokuwa nacho, Yusufu alipokuwa katika uongozi, Potifa hakuwa na sababu ya kujishughulisha na kitu chochote isipokuwa chakula alichokula.

Yusufu alikuwa mwenye umbo zuri na sura ya kuvutia;
Copyright information for SwhKC